Mauaji mengine yametokea IKIRIRI mkuranga, maiti imekutewa ikielea juu
ya maji, wakati huo huo inasemekana mwenyekiti wa kijiji jin halija
fahamika mpaka sasa ,imetekwa na watu wasiojulikana na inasemekama kuwa
ni magaidi wanaotafutwa na jeshi la polisi, baada ya kufanya mauaji ya
viongoz wa serikari wilayani humo,
Home
»
»Unlabelled
» Mwenyekiti,IKWIRIRI/ mkuranga atekwa.MAITI nyingine yakutwa ikielea mkurana:magazeti leo