mwenyekiti wa chama CHAUMA, hashim sponda rungwe,baada ya magufuli kumtua aliyekuwa mwenyekiti wa chama ACT- Anna mgwira kuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro,ilisemekana kuwa magufuli ndio raisi, w kwanza kuvunja miiko ya kuteua upinzani,lakini si kweli maelezo hayo yamepigwa na mh, hashimu rungwe.na kusema hata vingoz wa nyuma walishafanya hivyp
BONYEZA HAPA KWA HABARI NA VIDEO ZAIDI
Home
»
»Unlabelled
» MAGUFULI siyo RAISI wa kwanza kuteua MPINZANI kuwa kiongozi,wengine hawa hapa